Meveni (pia: Mewan, Mevennus, Meven, Méen; Gwent au Ergyng[1], Wales Kusini, 540 hivi - Gael, Bretagne, leo nchini Ufaransa, 617 hivi) alikuwa mmonaki nchini kwake, akamfuata ndugu yake Samsoni wa Dol, askofu mmisionari, hadi Bretagne[2]

Katika msitu wa huko alianzisha monasteri[3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Juni[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. St. Mewan of Brittany, Abbot Retrieved 2015-12-19
  2. Most documentation of his life can be found in the Breton 'Vita Meveni', perhaps written in 1084 by Ingamar.
  3. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92652
  5. Martyrologium Romanum, 2004, Vatican Press (Typis Vaticanis), page 171.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.