Milima ya Poroto
(Elekezwa kutoka Milima ya Uporoto)
Milima ya Poroto (Uporoto) iko kusini magharibi mwa Tanzania, kaskazini mwa Milima ya Kipengere[1].
Ni safu ya milima inayoelekea kusini mashariki kutoka bonde la mto Ruaha Mkuu kwa kufuata Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ MSN Encarta World Atlas[dead link]. Retrieved 19/9/07.