Mkoani ni mji ulioko kwenye kisiwa cha Pemba, Tanzania, wenye postikodi namba 74100, na ni makao makuu ya Wilaya ya Mkoani.

Ramani ya mji wa Mkoani (Pemba)
Bandari ya Mkoani

Mji upo upande wa magharibi wa Pemba ukitazama upanda wa Tanzania bara.

Kuna bandari muhimu zaidi ya Pemba ambako feri nyingi zinafika kutoka Unguja au kutoka Tanzania bara. [1]

Kuna hospitali kubwa ya Abdulla Mzee.

Marejeo hariri

  1. Fitzpatrick, Mary (2009). East Africa. Footscray, Victoria, Australia: Lonely Planet. uk. 144. ISBN 978-1-74104-769-1. 

5°22′S 39°39′E / 5.367°S 39.650°E / -5.367; 39.650