Katika utarakilishi, mlengo (kwa Kiingereza: focus) ni kitendo cha kuchagua elementi moja katika kiolesura michoro cha mtumiaji ili matini yanayoingizwa kwenye baobonye yatumwe katika dirisha amilifu.

Katika Windows, mlengo unafanyika kwa kubofya dirisha. Mlengo ni dhana sawa ya kionyeshi kwenye mazingira ya kichakata matini.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.