Mlima Kinangop ni kilele kirefu cha pili cha milima ya Aberdare nchini Kenya ukiwa na kimo wa mita 3,906 juu ya usawa wa bahari[1]

Kinango ni mlima wa nne kwa urefu nchini Kenya na ina asili ya volikano. Unapatikana katika Hifadhi ya Taifa ya Aberdare.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. New Encyclopædia Britannica vol. 1 (2005): "The range has an average elevation of 11000 feet (3350 m) and culminates in Oldoinyo Lesatima (13120 feet [3999 m]) and Ilkinangop (12815 feet [3906 m])."

Marejeo hariri