Mto Potomac
Mto Potomac unapatikana mashariki mwa Marekani. Chanzo kiko katika jimbo la West Virginia inaishia katika hori ya Chesapeake kwenye bahari ya Atlantiki.
Chanzo | mpakani wa wilaya za Tucker na Preston katika jimbo la West Virginia kwenye 39°11′43″N na 79°29′28″W |
Mdomo | Atlantiki kwenye hori ya Chesapeake |
Nchi | Marekani, majimbo ya Maryland, Virginia, District of Columbia, West Virginia |
Urefu | 665 km |
Kimo cha chanzo | 933 m |
Mkondo | 78 hadi 3,963 m³/s |
Eneo la beseni | 38,000 km² |
Idadi ya watu wanaokalia beseni | milioni 5 |
Miji mikubwa kando lake | Washington, D.C. |
Una mwendo wa km 665 na beseni la km² 38,000.
Mto unapita Washington D.C., mji mkuu wa Marekani.