West Virginia (Virginia Magharibi) ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika mashariki ya Marekani bara. Imepakana na Ohio, Kentucky, Maryland na Virginia.

Sehemu ya Jimbo la West Virginia








West Virginia

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Charleston
Eneo
 - Jumla 62,755 km²
 - Kavu 62,361 km² 
 - Maji 394 km² 
Tovuti:  http://wv.gov/

Mji mkuu pia mji mkubwa ni Charleston. Jimbo lina wakazi 1,808,344 (2000) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 62,0809.

Kabla ya 1863 eneo la jimbo lilikuwa sehemu za Virginia. Wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Marekani Virginia iliondoka katika maungano ya madola ya Marekani ikajiunga na waasi wengine katika Shirikisho la Marekani. Wakati ule wilaya za magharibi ya jimbo zilijitenga na kuwa jimbo jipya lililobaki upande wa maungano. Wilaya hizi ziliendelea kama jimbo la pekee la "West Virginia" hata baada ya mwisho wa vita.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu West Virginia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.