Mtumba
Mtumba ni jina la kata ya Dodoma Mjini katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17268 [1] waishio humo.
Makao makuu ya serikali Edit
Eneo la Mtumba limechaguliwa kuwa na majengo ya makao makuu mapya ya serikali ya Tanzania. [2]. Eneo lililoandaliwa lina hektari 617 na wizara zote zimeshapokea viwanja mnamo Aprili 2019.[3]
Marejeo Edit
- ↑ Sensa ya 2012, Dodoma - Dodoma MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-18.
- ↑ Project to set up govt seat in Mtumba starts Archived 14 Aprili 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya Habari Leo (gazeti la kiserikali), kufuatana na taarifa ya Daily News 20.11.2018
- ↑ New capital takes shape as Magufuli unveils govt offices, taarifa ya The Citizen Saturday April 13 2019
Kata za Wilaya ya Dodoma mjini - Mkoa wa Dodoma - Tanzania | ||
---|---|---|
Chahwa | Chamwino | Chang'ombe | Chigongwe | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | | Hombolo Bwawani | Hombolo Makulu | Ihumwa | Ipagala | Ipala | Iyumbu | Kikombo | Kikuyu Kaskazini | Kikuyu Kusini | Kilimani | Kiwanja cha Ndege | Kizota | Madukani | Majengo | Makole | Makutupora | Matumbulu | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mnadani | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng'hong'honha | Nkuhungu | Ntyuka | Nzuguni | Tambukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu |