Mtumba ni kata ya Dodoma Mjini katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 14,673 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17268 [2] waishio humo.

Makao makuu ya serikali hariri

Eneo la Mtumba limechaguliwa kuwa na majengo ya makao makuu mapya ya serikali ya Tanzania. [3]. Eneo lililoandaliwa lina hektari 617 na wizara zote zimeshapokea viwanja mnamo Aprili 2019.[4]

Marejeo hariri

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Dodoma - Dodoma MC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-18.
  3. Project to set up govt seat in Mtumba starts Archived 14 Aprili 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya Habari Leo (gazeti la kiserikali), kufuatana na taarifa ya Daily News 20.11.2018
  4. New capital takes shape as Magufuli unveils govt offices, taarifa ya The Citizen Saturday April 13 2019
  Kata za Wilaya ya Dodoma mjini - Mkoa wa Dodoma - Tanzania  

Chahwa | Chamwino | Chang'ombe | Chigongwe | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo Bwawani | Hombolo Makulu | Ihumwa | Ipagala | Ipala | Iyumbu | Kikombo | Kikuyu Kaskazini | Kikuyu Kusini | Kilimani | Kiwanja cha Ndege | Kizota | Madukani | Majengo | Makole | Makutupora | Matumbulu | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mnadani | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Nghong'onha | Nkuhungu | Ntyuka | Nzuguni | Tambukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mtumba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.