Muyaka bin Hajji (Mombasa, karne ya 18 - Mombasa, karne ya 19) alikuwa mshairi na mwandishi katika usultani wa Mombasa. Aliandika ushairi na hadithi zake kwa Kiswahili.

Muyaka Bin Hajji
Jina la kuzaliwa Muyaka Bin Hajji
Alizaliwa Karne ya 18
Alikufa Karne ya 19
Nchi Kenya, Mombasa
Kazi yake Mwandishi

Alijulikana kuandika mashairi mengi kama Ngome, Kwa heri mwana, Kitandi au Ghazali.

Maisha yake hariri

Aliandikia vitabu vyake kwa sultani wa Mombasa. Jina lake (-yaka) linaonyesha alikuwa Mwafrika, tena wa Kibantu.

Mashairi yake hariri

  • Ngome
  • Kwa heri mwana
  • Kitandi
  • Ghazali
  • Mashairi ya Hatari
  • Mbwene
  • 'Kajipaka 'tama
  • Ahadi
  • Wale

Mistari ya Ngome hariri

Ngome ni ngome ya mawe

Nafusi la kufusiza.

Ngome ni ya matumbawe

Na boriti kuikiza.

Ngome wetwapo sikawe

Enda hima na kufuza.

Ngome imetuumiza

Naswi tu mumo ngomeni.

Marejeo hariri

  • Knappert, J. (1982). Four Centuries of Swahili Verse.
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muyaka bin Hajji kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.