Mwananchi
Mwananchi ni gazeti kutoka Dar es Salaam, nchini Tanzania. Linatolewa kila siku kwa lugha ya Kiswahili na kampuni ya Mwananchi Communications Ltd. inayotoa pia magazeti ya Mwanaspoti na The Citizen (kwa Kiingereza).
Mwananchi | |
---|---|
Jina la gazeti | Mwananchi |
Nchi | Tanzania |
Mchapishaji | Mwananchi Communications Ltd |
Makao Makuu ya kampuni | Dar es Salaam |
Tovuti | http://www.mcl.co.tz/ |
Kampuni yake ni sehemu ya kampuni kubwa ya Nation Media Group ya Nairobi, Kenya.
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |