Nice Mohamed (amezaliwa 17 Aprili, 1973) ni mwigizaji, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania. Anafahamika sana kwa ushiriki wake katika mifululizo ya TV iliyokuwa inarushwa hewani na ITV chini ya Kaole Sanaa Group na jina maarufu la Mtunisi. Filamu alizocheza ni pamoja na: Tom Boy – Jike Dume, The Dream Ndoto, Kisasi cha Utata, Yellow Banana na Chanzo Kisu.[1]

Nice Mohamed
Amezaliwa Nice Mohamed
17 Aprili 1973 (1973-04-17) (umri 50)
Tanzania
Kazi yake Mwigizaji
Mwongozaji
Mtayarishaji
Miaka ya kazi 2001-hadi sasa

Baadhi ya filamu zake hariri

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri