Nikasi, Kwirini na wenzao
Nikasi, Kwirini na wenzao Skuvikuli na Piensya (walifariki katika eneo la Vexin, leo nchini Ufaransa, 285 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa kutokana na imani ya Kikristo[1][2].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- (Kijerumani) Der Hl. Quirinus von Rott
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |