Nunu Khumalo
Mwigizaji wa kike wa Afrika Kusini
Nqobile Nunu Khumalo alizaliwa Mpumalanga, tarehe 15 Aprili 1992) ni mwanamitindo na mwigizaji wa filamu wa Afrika Kusini.[1]
Nunu Khumalo | |
Amezaliwa | 15 Aprili 1992 Mpumalanga |
---|---|
Nchi | Kigezo:Country data Afika Kusini |
Kazi yake | Mwanamitindo |
Maisha Binafsi hariri
Alizaliwa mwaka 1992 nchini Afrika Kusini katika familia ya Kiswati; akiwa na umri wa miezi miwili mama yake alihamia katika mji wa Johannesburg, mwaka 2012, alisoma katika shule ya St Mary's Diocesan School for Girls, na baada ya elimu ya upili alijiunga na chuo cha Midrand Graduate Institute na kumaliza shahada yake ya utangazaji .
Filamu hariri
- Isibaya kama Cindy
- Broken Vows kama Zandile
- High Rollers kama Thandi
- Gauteng Maboneng Beautiful Lady
- Loxion Lyric’ kama Nhlahla
- Mfolozi Street kama Judith
- Saints and Sinners kama Lerato
- Madiba
- Rockville kama Nosipho
- She's The One kama herself
- The Herd kama Dudu
- Task Force kama Lisa
- Soul City kama Relebogile “Riri’’ Diholo
- Scandal (Tamthilia kama Hlengiwe Twala
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nunu Khumalo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |