Nyuklia

ukarasa wa maana wa Wikimedia

Nyuklia ni neno ambalo linatumiwa katika lugha ya sayansi.

Asili yake ni Kilatini "nucleus" inayomaanisha "kiini". Inatumiwa hasa kama tafsiri ya Kiingereza "nuclear". Kwa Kiswahili neno hili linatumiwa hasa katika fani za fizikia kwa kutaja mambo yanayohusu kiini cha atomu, na pia biolojia kwa mambo yanayohusu kiini cha seli.

Nyuklia inaweza kutaja:

Fizikia hariri

Hisabati hariri

Kemia hariri

Jamii hariri

 
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.