Orodha ya Makaizari wa Ujerumani
(Elekezwa kutoka Orodha ya Wafalme Wakuu wa Ujerumani)
Orodha hii inataja wafalme wakuu (au Kaizari) wote wa Dola Takatifu la Kiroma la Taifa la Kijerumani kuanzia Karoli Mkuu.
Nasaba ya Karoli hariri
- Karoli Mkuu, 800-814
- Louis I, 814-840
- Lothar I, 843-855
- Louis II, 855-875
- Karoli II, 875-877
- Karoli III, 881-887
Mlango wa Guideschi hariri
- Guy III wa Spoleto, 891-894
- Lambert II wa Spoleto, 894-898
Nasaba ya Karoli hariri
- Arnulf wa Carinthia, 896-899
- Louis III, 901-905
- Berengar wa Friuli, 915-924
Nasaba ya Otto hariri
- Otto I, 962-973
- Otto II, 973-983
- Otto III, 996-1002
- Henriki II, 1014-1024 (huhesabiwa wa pili ingawa Henriki I wa Ujerumani hakuwa mfalme mkuu)
Nasaba ya Wasalia (Wafranki) hariri
- Konrad II, 1027-1039 (huhesabiwa wa pili ingawa Konrad I wa Ujerumani hakuwa mfalme mkuu)
- Henriki III, 1046-1056
- Henriki IV, 1084-1105
- Henriki V, 1111-1125
Nasaba ya Supplinburg hariri
- Lothar III, 1133-1137 (huhesabiwa wa tatu Lothar II alikuwa tu mfalme wa Lotharingia 855-869, na sio mfalme mkuu)
Nasaba ya Staufen hariri
- Frederick I Barbarossa, 1155-1190
- Henriki VI, 1191-1197
Mlango wa Welf hariri
- Otto IV wa Brunswick, 1209-1215 (amefariki 1218)
Nasaba ya Staufen hariri
- Frederick II, 1220-1250
Mlango wa Luxembourg hariri
- Henry VII, 1312-1313
Mlango wa Wittelsbach hariri
- Louis IV wa Bavaria, 1328-1347
Mlango wa Luxembourg hariri
Nasaba ya Habsburg hariri
- Frederick III, 1452-1493
- Maximilian I, 1508-1519 (Kaizari-Mteule)
- Karoli V, 1530-1556 (hakujiuzulu hadi 1558) (Kaizari-Mteule 1519-1530)
- Ferdinand I, 1556-1564 (Kaizari-Mteule)
- Maximilian II, 1564-1576 (Kaizari-Mteule)
- Rudolf II, 1576-1612 (Kaizari-Mteule; huhesabiwa wa pili ingawa Rudolf I wa Ujerumani alikuwa mfalme tu 1273-1291 na siyo mfalme mkuu)
- Matthias, 1612-1619 (Kaizari-Mteule)
- Ferdinand II, 1619-1637 (Kaizari-Mteule)
- Ferdinand III, 1637-1657 (Kaizari-Mteule)
- Leopold I, 1658-1705 (Kaizari-Mteule)
- Joseph I, 1705-1711 (Kaizari-Mteule)
- Karoli VI, 1711-1740 (Kaizari-Mteule)
Mlango wa Wittelsbach hariri
- Karoli VII Albert, 1742-1745 (Kaizari-Mteule)
Nasaba ya Habsburg-Lorraine hariri
- Francis I, 1745-1765 (Kaizari-Mteule)
- Joseph II, 1765-1790 (Kaizari-Mteule)
- Leopold II, 1790-1792 (Kaizari-Mteule)
- Francis II, 1792-1806 (Kaizari-Mteule)