Oseani wa Nikomedia

Oseani wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, mkoa wa Bitinia, leo Izmit, nchini Uturuki) alikuwa Mkristo wa Dola la Roma aliyeuawa kwa ajili ya imani yake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Septemba.[1]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.