Otandeka Laki
Mchezaji wa mpira wa miguu wa chama cha Amerika
Otandeka Kanyesigye Laki (alizaliwa 24 Januari 1996) ni mchezaji wa soka wa nchini Uganda na ambaye anacheza kama winga na mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Uganda
Otandeka Kanyesigye Laki | |
Nchi | Uganda |
---|---|
Majina mengine | Otandeka Laki |
Kazi yake | Mchezaji mpira |
Maisha ya Awali hariri
Otandeka alizaliwa Bronx, New York, Marekani na kukulia Marlboro Township baba yake alikua ni balozi. Alisoma Shule ya sekondari ya Colts Neck..[1][2]
Marejeo hariri
- ↑ "US-based Otandeka eyes She Cranes". Iliwekwa mnamo 22 February 2022. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Meet Laki Otandeka, a US based Female Teenage Revelation with Ugandan Roots.". Kawowo. Iliwekwa mnamo 22 February 2022. Check date values in:
|accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Otandeka Laki kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |