Palermo
Palermo ni mji wa Italia katika mkoa wa Sisilia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 660,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 14 juu ya usawa wa bahari.
Palermo | |
Lua error in Module:Location_map at line 388: The value "<strong class="error">Expression error: Unexpected / operator.</strong>" provided for longitude is not valid.Mahali pa mji wa Palermo katika Italia |
|
Majiranukta: 38°07′N 13°22′E / 38.117°N 13.367°E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Sisilia |
Wilaya | Palermo |
Idadi ya wakazi | |
- | 657,935 |
Tovuti: www.comune.palermo.it |
Tazama piaEdit
MarejeoEdit
Viungo vya njeEdit
- (Kiitalia) Tovuti rasmi
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Palermo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |