Sisilia (kwa Kiitalia Sicilia) ni kisiwa kikubwa cha Italia na cha bahari ya Mediteranea yote, ikiwa na eneo la kilomita mraba 25711.

Bendera ya Sisilia.
Bendera ya Sisilia.
Wilaya za mkoa wa Sisilia.

Iko kusini kwa rasi ya Italia, ng'ambo ya mlangobahari wa Messina.

Sisilia pamoja na visiwa vidogo vya jirani ni pia mkoa wa nchi wenye katiba ya pekee.

Idadi ya wakazi ni watu 5,077,487 (2015), ambao kati yao 98% ni raia wa Italia.

Mji mkuu ni Palermo (wakazi 677,854).

Wilaya hariri

Tazama pia hariri

Tovuti za nje hariri


 
Mikoa ya Italia
 
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
  Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sisilia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.