Pangani Magharibi
Pangani Magharibi ni kata ya Wilaya ya Pangani katika Mkoa wa Tanga, Tanzania na sehemu ya mji wa Pangani yenye Postikodi namba 21301.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b2/Tanzania_Tanga.png/220px-Tanzania_Tanga.png)
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 8,179 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 4,949 waishio humo. [2]
Pangani Magharibi huitwa pia Myongeni: ni sehemu ambako wafanyakazi wa mashamba makubwa wa katani walipanga nyumba zao nje ya mji wa kihistoria ya Pangani.
Marejeo
hariri- ↑ https://www.nbs.go.tz
- ↑ "2002 Population and Housing Census General Report" (kwa Kiingereza). Government of Tanzania. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-12-26. Iliwekwa mnamo 2008-08-21.
Kata za Wilaya ya Pangani - Mkoa wa Tanga - Tanzania | ||||
---|---|---|---|---|
Bushiri | Bweni | Kimang'a | Kipumbwi | Madanga | Masaika | Mikunguni | Mkalamo | Mkwaja | Mwera | Pangani Magharibi | Pangani Mashariki | Tungamaa | Ubangaa
|