Mwera ni kata ya Wilaya ya Pangani katika Mkoa wa Tanga, Tanzania, yenye Postikodi namba 21304.

Kata ya Mwera ina vijiji vitatu ambavyo ni Mwera, Ushongo na Mzambarauni.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 6,059 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 4,601 waishio humo.

Wakazi wa kata hiyo wanajihusisha na shughuli mbalimbali kama vile uvuvi katika bahari ya Hindi, ambayo inapatikana katika kijiji cha Ushogo, na kilimo cha mboga, ufuta, nyanya, mahindi, pia ni wafanyabiashara na wanafanya ujasiriamali mbalimbali.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Pangani - Mkoa wa Tanga - Tanzania  

Bushiri | Bweni | Kimang'a | Kipumbwi | Madanga | Masaika | Mikunguni | Mkalamo | Mkwaja | Mwera | Pangani Magharibi | Pangani Mashariki | Tungamaa | Ubangaa

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mwera (Pangani) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.