Bushiri ni kata ya Wilaya ya Pangani katika Mkoa wa Tanga, Tanzania, yenye Postikodi namba 21307.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 4,127 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 7,294 waishio humo.

Eneo la Bushiri ilikuwa nyumbani kwa Abushiri ibn Salim al-Harthi (au "Bushiri") aliyekuwa kiongozi wa mapambano ya watu wa pwani dhidi ya ukoloni wa Kijerumani mwaka 1888/1889. Alikuwa huko na shamba lake.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Pangani - Mkoa wa Tanga - Tanzania  

Bushiri | Bweni | Kimang'a | Kipumbwi | Madanga | Masaika | Mikunguni | Mkalamo | Mkwaja | Mwera | Pangani Magharibi | Pangani Mashariki | Tungamaa | Ubangaa

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bushiri (Pangani) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.