Paterni wa Vannes (au Paternus, Paterne, Patier, Pair, Padarn; alizaliwa karne ya 5 - alifariki 490/511) alikuwa askofu wa kwanza wa Vannes, Bretagne (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 467 hivi hadi kifo chake [1].

Picha takatifu ya Mt. Paterni.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Mei[2][3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.