Protadi (kwa Kifaransa: Prothade; alifariki Besancon, Ufaransa, 624) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 612 hadi kifo chake[1].

Alijitahidi kudumisha imani sahihi na maadili ya Kanisa, na kwa busara yake aliombwa shauri na mfalme Klotari II mara kadhaa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • « Prothade », dans Pierre Larousse, Grand dictionnaire universel du xixe siècle, Paris, Administration du grand dictionnaire universel, 15 vol., 1863-1890
  • De S. Protadio episcopo Vesontino, in Acta Sanctorum Februarii, vol. II, Parigi-Roma, pp. 413-414
  • Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. III, Paris 1915, p. 213
  • Bernard de Vregille, Protadio, vescovo di Besançon, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. X, coll. 1214-1215
  • Claude Fohlen (cur.), Histoire de Besançon, 2 voll., Nouvelle librairie de France, Parigi 1964-1965.
  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causaruom, Città del Vaticano 1999.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.