Razer Inc. (imeboreshwa kama RΛZΞR), ni kampuni ya kimataifa ya kuchezesha michezo mbalimbali iliyoanzishwa mwaka 2005 na mjasiriamali wa Singapore, Min-Liang Tan na Robert Krakoff, baada ya kupata uwekezaji mkubwa kutoka Hong Kong Tycoon Li Ka-shing na Temasek Holdings ya Singapore.

Makao makuu ya Razer Inc.,Queenstown, Singapore

Kampuni hiyo ina makao makuu mawili huko Singapore na San Francisco, California, na imeorodheshwa katika soko la hisa la Hong Kong tangu Novemba 2017.

Kwa mujibu wa hati ambayo taasisi na biashara hutumia kuelezea kile wanach toa ofa kwa washiriki na wanunuzi, Inasema kuwa Razer "imejenga vichezeshi vikuu duniani katika mfumo wa ikolojia ya vifaa vya kuchezesha na programu pamoja na huduma".

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Razer Inc. kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.