Rwabwere
Rwabwere ni jina la kitongoji, kijiji na kata pia ya Wilaya ya Kyerwa katika Mkoa wa Kagera, Tanzania.
Kata ya Rwabwere | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Kagera |
Wilaya | Wilaya ya Kyerwawww.google |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 20,669 |
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 20,669 waishio humo.[1]
Kata ya Rwabwere inasifika kwa kuwa na jamii ya watu makini ikiwa ni watu wakarimu na wazalendo, wachapakazi na pia wapenda maendeleo ambao wanajihusisha na shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kilimo, ufugaji na biashara.
Marejeo hariri
|
Kata za Wilaya ya Kyerwa - Mkoa wa Kagera - Tanzania | | ||
---|---|---|---|---|
Bugara | Bugomora | Businde | Isingiro | Iteera | Kaisho | Kakanja | Kamuli | Kibare | Kibingo | Kikukuru | Kimuli | Kitwe | Kitwechenkura | Kyerwa | Mabira | Murongo | Nkwenda | Nyakatuntu | Nyaruzumbura | Rukuraijo | Rutunguru | Rwabwere | Songambele |
|