Severo wa Catania
Severo wa Catania (alifariki Catania, Sicilia, 814) alikuwa askofu wa 19 wa mji huo, leo nchini Italia[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Santi Correnti. La città semprerifiorente. Catania, Greco, 1977.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |