Sidi Touré (alizaliwa 1959, Gao, Mali) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Bamako, Mali . Muziki wake ni aina ya nyimbo ya songhaï blues. Alianza kazi yake katika bendi ya Sonhaï Stars mnamo 1984 alishinda tuzo ya mwimbaji bora katika Mali National Biennale. Alishinda tena tuzo hiyo hiyo mnamo 1986. Mnamo 1992 alishirikiana na Kassemady Diabate.

Sidi Touré akitumbuiza mwaka 2013

Nje ya Mali, Sidi Touré anajulikana sana kwa kuonekana kwake katika mfululizo wa video za Take-Away Show ya Vincent Moon. Moon alimrekodi mwanamuziki huyo wa Mali akiwa eneo la kushutia nchini Mali.

Orodha ya kazi za muziki hariri

  • Hoga, 1996, Stern's Records
  • Sahel Folk, 2011, Thrill Jockey Records
  • Koima, 2012, Thrill Jockey Records
  • Alafia, 2013
  • Toubalbero, 2018
  • Afrik Toun Mé, 2020, Thrill Jockey Records


Viungo vya nje hariri


Marejeo hariri