Sinforiani wa Autun
Sinforiani wa Autun (alifariki 178 hivi) alikuwa Mkristo wa mji huo, leo nchini Ufaransa aliyeuawa kwa ajili ya imani yake[1].
Wakati wa kwenda kuuawa, mama yake alimlilia, "Mwanangu, mwanangu, Sinforiani, umkumbuke Mungu aliye hai. Leo uhai wako hauondolewi bali unaboreshwa tu".
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |