Solange
Solange (Sainte-Solange, Cher, leo nchini Ufaransa, 863 hivi - 10 Mei 878 hivi) alikuwa bikira Mkristo mzuri sana aliyekatwa kichwa na mwanamume aliyeshindwa kumpata kimapenzi[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira na mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
- http://catholique-bourges.cef.fr/sanctuaires/solange/index.htm Archived 20 Juni 2006 at the Wayback Machine.
- http://www.sceneslegendairesdeste-solange.fr/
- https://linactuelle.fr/index.php/2018/12/01/jean-dolbouc-le-mythe-de-sainte-solange/ Archived 21 Oktoba 2020 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |