Stefano II wa Antiokia

Stefano II wa Antiokia (alifariki Antiokia, leo nchini Uturuki, 479) alikuwa askofu mkuu wa Antiokia[1] kuanzia mwaka 477[2] aliyesumbuliwa sana wa Wakristo waliokataa Mtaguso wa Kalsedonia, hadi kifodini chake[3][4] alipotoswa na wazushi hao katika mto Oronte wakati wa kaisari Zeno[5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kwenye 25 Aprili.[6]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. István Perczel, Réka Forrai, György Geréby (2005). The Eucharist in Theology and Philosophy: Issues of Doctrinal History in East and West from the Patristic Age to the Reformation. Leuven University Press.
  2. A. Fortescue. The lesser eastern churches. p. 192.
  3. Aloys Grillmeier, Pauline Allen (1986). Christ in Christian Tradition: From the Council of Chalcedon (451) to Gragory the Great (590-604). Westminster John Knox Press.
  4. David A. Michelson (2014). The Practical Christology of Philoxenos of Mabbug. p. 10.
  5. http://www.santiebeati.it/dettaglio/50730
  6. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.