Sungusungu (sisimizi)

Kuhusu walinzi wa jadi angalia hapa Sungusungu

Sungusungu
Sungusungu aliyekamata mchwa
Sungusungu aliyekamata mchwa
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropodi (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Nusufaila: Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Nusungeli: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda: Hymenoptera (Wadudu wenye mabavu angavu)
Nusuoda: Apocrita (Hymenoptera wenye kiuno chembamba sana)
Familia ya juu: Formicoidea (Hymenoptera kama siafu)
Familia: Formicidae (Sisimizi)
Nusufamilia: Ponerinae
Jenasi: Megaponera
Mayr, 1862
Spishi: M. analis
(Latreille, 1802

Sungusungu ni spishi ya sisimizi (Megaponera analis) wa nusufamilia Ponerinae katika familia Formicidae.

Katika maisha yao, sungusungu huishi kwa ushirikiano na kusaidiana kama mchwa na wadudu wengineo.

Pia sungusungu hugawana majukumu katika shughuli mbalimbali kama vile ulinzi (kwa wadudu hawa ukizungumzia suala la ulinzi ni wa kumlinda malkia wao na ujenzi wa makazi yao).

Kutokana nao, mara nyingine walinzi wa jadi katika jamii za binadamu wanaitwa "sungusungu".

Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sungusungu (sisimizi) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.