Teodolfi, O.S.B. (alifariki Lobbes, Austrasia, leo nchini Ubelgiji, 24 Juni 776) alikuwa abati na askofu[1] ambaye alijitahidi kufuata mifano bora ya watangulizi wake wawili ambao aliagiza maisha yao yaandikwe.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 24 Juni[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.