Theodgari
Theodgari (pia: Dieter, Thøger, Dietger, Dioter, Theodgardus; Thuringia, Ujerumani, 1000 hivi [1] - Vestervig, Udani, 24 Juni 1175 hivi) alikuwa padri ambaye aliinjilisha Norwei na hasa Denmark bara, alipojenga kanisa la kwanza kwa mbao [2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Nyberg, Tore, nd: Thøger (Theodgardus) in: Lexikon für Theologie und Kirche. 3rd edition, vol. 9, p. 1503 (Kijerumani)
Viungo vya nje hariri
- Gorm Benzon: "Vore gamle kirker og klostre", København 1973 in: https://bibliotek.dk/linkme.php?rec.id=870970-basis%3A01206761 (Kidenmark)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |