Theodoriki Mkuu (454 - 30 Agosti 526) alikuwa mfalme wa Waostrogoti kuanzia mwaka 474. Ndiye aliyewaongoza kuteka Italia na kufikia mwaka 523 alitawala hadi Bahari ya Atlantiki.

Theodoriki Mkuu.
Dola la Theodoriki mwaka 523: rangi nyekundu inaonyesha maeneo aliyoyatawala mwenyewe, ile ya pink maeneo yaliyokuwa chini ya himaya yake.

Tanbihi hariri

Vyanzo hariri

Marejeo mengine hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: