Timu ya Taifa ya Kandanda ya Marekani

Timu ya kitaifa ya soka ya Marekani, iitwayo The Yanks, ni timu ya taifa ya Marekani na imedhibitiwa na United States Soccer Federation. Haijawahi kuhitimu kucheza fainali katika Kombe la Dunia.

Marekani
Nickname(s)The Yanks
The Stars and Stripes
ShirikaUnited States Soccer Federation
ShirikishoCONCACAF
Kocha mkuuBob Bradley
Most capsCobi Jones (164)
Top scorerLandon Donovan (45)
msimbo ya FIFAUSA
cheo ya FIFA13
Highest FIFA ranking4 (Aprili 2006)
Lowest FIFA ranking35 (Oktoba 1997)
Elo ranking21
Home colours
Away colours
First international
"Unofficial":
Marekani United States 0 - 1 Kanada 
(Newark, New Jersey; 28 Novemba 1885)
Official:  Uswidi 2–3 United States Marekani
(Stockholm, Sweden; 20 Agosti 1916)
Biggest win
Marekani United States 8–0 Barbados 
(Carson, California, US; 15 Juni 2008)
Biggest defeat
 Norwei 11–0 United States Marekani
(Oslo, Norway; 11 Agosti 1948)
Kombe la Dunia
Appearances9 (First in 1930)
Best result3rd place, 1930
CONCACAF Gold Cup
Appearances10 (First in 1991)
Best resultChampion, 1991, 2002, 20005, 2007
Uundaji rasmi wa kwanza wa timu Marekani mnamo 1916, Uwanja wa Olimpiki wa Stockholm, Uswidi

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Timu ya Taifa ya Kandanda ya Marekani kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.