Tomais wa Aleksandria

Tomais wa Aleksandria (aliuawa 476) alikuwa mwanamke Mkristo wa mji huo wa Misri aliyekataa kuzini na babamkwe wake ambaye kwa sababu hiyo alimkata vipande viwili kwa upanga.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 14 Aprili[1][2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.