Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2015 ulifanyika tarehe 25 Oktoba. Wapiga kura walimchagua Rais, wabunge na Madiwani.
![]() | |||||||||||||||||||
| |||||||||||||||||||
| |||||||||||||||||||
|
Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa Chadema.[2]. Kadiri ya tume hiyo, Magufuli alipata kura 8,882,935, sawa na asilimia 58.46 na Lowassa alipata kura 6,072,848, sawa na asilimia 39.97. Hata hivyo wapinzani walikataa kukubali matokeo hayo na wasimamizi wa uchaguzi kutoka nje walilaumu sana baadhi ya taratibu na matukio.
Wagombea Urais Edit
Mgombea | Mgombea Mwenza | Chama | |
---|---|---|---|
Anna Elisha Mghwira[3] | Hamad Mussa Yussuf | Alliance for Change and Transparency (ACT) | |
Edward Lowassa[3] | Juma Duni Haji | Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) | |
Fahmi Nassoro Dovutwa[3] | Hamadi Mohammed Ibrahimu | United People's Democratic Party (UPDP) | |
Hashim Rungwe Spunda[3] | Issa Abas Hussein | Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) | |
Janken Malik Kasambala[3] | Simai Abdulrahman Abdulla | National Reconstruction Alliance (NRA) | |
John Magufuli[3] | Samia Suluhu | Chama Cha Mapinduzi | |
Lutalosa Yembe[3] | Said Miraj Abdallah | Alliance for Democratic Change (ADC) | |
Machmillan Elifatio Lyimo[3] | Tanzania Labour Party (TLP) |
Uchaguzi wa Bunge 2015 Edit
Chama | Kura | % | Wabunge | ||||
---|---|---|---|---|---|---|---|
wa majimbo | wa chama | Jumla | +/– | ||||
Chama Cha Mapinduzi | 8,021,427 | 55.04 | 188 | 64 | 252 | ||
Chama cha Demokrasia na Maendeleo | 4,627,923 | 31.75 | 34 | 36 | 70 | ||
Civic United Front CUF | 1,257,765 | 8.63 | 32 | 10 | 42 | ||
Alliance for Change and Transparency | 323,112 | 2.22 | 1 | 0 | 1 | ||
NCCR–Mageuzi | 218,209 | 1.50 | 1 | 0 | 1 | ||
Chama cha Ukombozi wa Umma | 23,058 | 0.16 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Democratic Party | 14,471 | 0.10 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
United Democratic Party | 13,757 | 0.09 | 0 | 0 | 0 | –1 | |
Tanzania Labour Party | 13,098 | 0.09 | 0 | 0 | 0 | –1 | |
ADA–TADEA | 12,979 | 0.09 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Alliance for Democratic Change | 12,420 | 0.09 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Chama cha Haki na Ustawi | 8,217 | 0.06 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Alliance for Tanzania Farmers Party | 7,498 | 0.05 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
United People's Democratic Party | 3,772 | 0.03 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Jahazi Asilia | 3,344 | 0.02 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Progressive Party of Tanzania – Maendeleo | 3,037 | 0.02 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Chama Cha Kijamii | 2,310 | 0.02 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
National League for Democracy | 2,082 | 0.01 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Union for Multiparty Democracy | 1,975 | 0.01 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Sauti ya Umma | 1,810 | 0.01 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
National Reconstruction Alliance | 1,467 | 0.01 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Demokrasia Makini | 1,226 | 0.01 | 0 | 0 | 0 | 0 | |
Walioteuliwa na rais | – | – | – | – | 10 | – | |
Kura zilizoharibika | – | – | – | – | – | ||
Jumla | 14,574,957 | 100 | 256 | 110 | 366 | +17 | |
Source: NEC, IPU |
Marejeo Edit
- ↑ Raphaely, Lawrence. "NEC sets October 25 as general elections date", 26 May 2015. Retrieved on 2015-08-12. Archived from the original on 2015-07-07.
- ↑ "John Magufuli Declared Winner in Tanzania’s Presidential Election", The New York Times, 29 October 2015. Retrieved on 30 October 2015.
- ↑ 3.0 3.1 3.2 3.3 3.4 3.5 3.6 3.7 Uteuzi wa Wagombea Urais. National Electoral Commission (21 August 2015). Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-08-29. Iliwekwa mnamo 2015-09-01.