Ukumbi wa Jiji la Maputo
Ukumbi wa Jiji la Maputo au Jengo la Halmashauri ya Manispaa ya Maputo ( kwa Kireno : Edifício do Conselho Municipal de Maputo ) ni makao makuu ya serikali ya mtaa ya mji mkuu wa Msumbiji . Jengo la mamboleo liko juu ya Praça da Independencia, na lilijengwa mnamo mwaka 1947.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b3/Conselho_Municipal_Maputo_%2822096153185%29.jpg/180px-Conselho_Municipal_Maputo_%2822096153185%29.jpg)
Marejeo
haririMakala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |