Unyevu ni hali ya sehemu au kitu fulani kuwa na majimaji kutokana na hali ya hewa ya mahali hapo, hasa kama ni pa baridi na mvua nyingi.

Unyevu ni hali ya sehemu au kitu fulani kuwa na majimaji kutokana na hali ya hewa ya mahali hapo, hasa kama ni pa baridi na mvua nyingi.

Katika Tanzania kuna baadhi ya mikoa huwa asubuhi kuna unyevu; mikoa hiyo ni kama Arusha, Kilimanjaro na mingineyo. Pia unyevu unaweza kuwa katika nguo zilizokuwa karibu kukauka.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.