Asubuhi
Asubuhi (kutoka Kiarabu: صباح) ni kipindi cha siku ambacho kinaleta mwanga wa kwanza wa mchana baada ya giza la usiku.

Yosemite Valley wakati wa asubuhi.
Kwa binadamu na wanyama wengi ndio wakati wa kuamka kwa kutoka usingizini ili kuanza shughuli mbalimbali.
Katika dini mbalimbali, ni wakati muhimu wa sala.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |