Uwezo ni neno ambalo maana yake imegawanyika:

  1. kuwa na nguvu
  2. kuwa na mali
  3. kuwa na nguvu na mamlaka ya kufanikisha jambo
  4. kuwa na ufahamu wa kuelewa masomo darasani
  5. kipawa binafsi ambacho mwingine anaweza akawa nacho, na mwingine asiwe nacho
Kuna shida za kihemko zinazoathiri wale wanaotumia nguvu kwa namna yoyote.

Kwa mfano, kuna baadhi ya watu wanapenda kwenda jeshini wakielezwa hali ya huko lakini wengine hawataki hata kusikia. Katika vita vya Kagera vya mwaka 1978 Idd Amini wa Uganda alitaka kuteka baadhi ya maeneo ya Tanzania. Kuna wazalendo waliojitoa kwa hali na mali wakaikomboa nchi: Amini hakuwa na uwezo tena, akakimbilia Libya.