Viktori wa Vita (alifariki 484 hivi) ni kati ya wafiadini wa Kanisa Katoliki waliouawa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Huneriki aliyekuwa Mwario.

Habari zao zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita.[1]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Desemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. [Culusi "Holy Martyrs Dionysia, Dativa, Emilianus, Boniface, Leontia, Tertius, and Majoricus (+484)"] Check |url= scheme (help). Mystagogy Resource Center. Iliwekwa mnamo July 15, 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. https://catholicsaints.info/saint-victorious/
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.