Wafiadini wa Gorkum

Wafiadini wa Gorkum (walifariki Brielle, Uholanzi, 9 Julai 1572, ni Wakristo 19 wanaoheshimiwa na Kanisa Katoliki kama watakatifu wafiadini kwa kuwa walidhihakiwa na kuteswa kikatili wakauawa na Waprotestanti kwa kunyongwa kwa sababu walitetea imani sahihi katika ekaristi na kukataa kujitenga na Papa.

Wakristo 19 maarufu kama Wafiadini wa Gorkum

Karibu wote walikuwa mapadri, kumi na mmoja wa kwanza walikuwa Wafransisko, wengine wa mashirika mengine au wanajimbo. Mbali ya Waholanzi, wawili waliotokea Denmark na Ujerumani [1].

Majina yao ni:

Kwanza walitangazwa na Papa Klement X kuwa wenye heri tarehe 24 Novemba 1675, halafu watakatifu na Papa Pius IX tarehe 29 Juni 1867.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai[2].

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.