Waganda (wao hujiita Baganda) ni kabila kubwa la Uganda likiwa na asilimia 16.9 za wakazi wote wa nchi hiyo.

Bendera ya Buganda.
Eneo la Buganda kati ya ziwa Viktoria, mto Nile na ziwa Kyoga.

Ufalme wao (Buganda) unaongozwa na mfalme anayeitwa Kabaka na unaenea katika Mkoa mzima wa Kati.

Ufalme huo ulikubali ulinzi wa Uingereza mwaka 1894 chini ya Mwanga II.

Lugha yao inaitwa Kiganda (wao wanasema: Luganda) na ni kati ya lugha za Kibantu.

Tanbihi hariri


Marejeo hariri

  • Roscoe, John (2005). The Baganda: An Account of Their Native Customs and Beliefs. Whitefish, MT: Kessinger Publishing. ISBN 978-1-4179-7538-9.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waganda kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.