Waturoni
Turoni lilikuwa kabila la Wagallia waliokaa katika eneo la Touraine wakati wa enzi ya shaba na kipindi cha Dola la Roma.[1]
Jina
haririWanatajwa na Julius Caesar kama Turonos na Turonis (katikati ya karne ya 1 KK), Turones na Pliny (karne ya 1 BK), Turoni na Tacitus (mapema karne ya 2 BK), na Touroúpioi (Τουρούπιοι, toleo la τουρογιεῖς) na Ptolemy (karne ya 2 BK).
Jiografia
haririEneo lao linapatikana sehemu ya kati ya mto Loire.
Marejeo
hariri- ↑ Julius Caesar. Commentarii de Bello Gallico, 2:35:3, 8:46:4.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Waturoni kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |