Turoni lilikuwa kabila la Wagallia waliokaa katika eneo la Touraine wakati wa enzi ya shaba na kipindi cha Dola la Roma.[1]

Sarafu ya Turones, karne ya 5-1 KK

Wanatajwa na Julius Caesar kama Turonos na Turonis (katikati ya karne ya 1 KK), Turones na Pliny (karne ya 1 BK), Turoni na Tacitus (mapema karne ya 2 BK), na Touroúpioi (Τουρούπιοι, toleo la τουρογιεῖς) na Ptolemy (karne ya 2 BK).

Jiografia

hariri
 
Civitas ya Turones (nyekundu) wakati wa kipindi cha kirumi, ikilinganishwa na wilaya ya kisasa ya Indre-et-Loire (kijani).

Eneo lao linapatikana sehemu ya kati ya mto Loire.

Marejeo

hariri
  1. Julius Caesar. Commentarii de Bello Gallico, 2:35:3, 8:46:4.
  Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waturoni kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.