Wikipedia ya Kidenmark

Wikipedia ya Kidenmark ni toleo la kamusi elezo huru ya Wikipedia kwa lugha ya Kidenmark. Wikipedia hii, iliazishwa mnamo tar. 1 Februari katika mwaka wa 2002. Na kwa tar. 28 Desemba 2008, Wikipedia hii imefikisha zaidi ya makala 100,000. Kutokana na Kidenmark kuwa lugha inayoingiliana na Kiswidi na Kinorwei, wasimamizi wa mitandao hushirikiana kwa heshima ya mitandao yao ya Wikipedia kwa kupitia Skanwiki sehemu ya mtando wa Wikimedia mashuhuri kama Meta-Wiki.

Favicon of Wikipedia Danish Wikipedia
Kisarahttp://da.wikipedia.org/
Ya kibiashara?Hapana
Aina ya tovutiMradi wa Kamusi Elezo ya Interneti
KujisajiriHiari
Lugha asiliaKidenmark
MmilikiWikimedia Foundation

Viungo vya nje hariri

 
Wikipedia
Wikipedia ya Kidenmark ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
  Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kidenmark kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.