Wilaya ya Mlimba

(Elekezwa kutoka Wilaya ya Kilombero)

Wilaya ya Mlimba ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania yenye Postikodi namba 67500.

Mahali pa wilaya ya Kilombero (kijani cheusi) katika mkoa wa Morogoro (kijani) na Tanzania kwa jumla (kabla ya kugawa wilaya hiyo kuwa mbili).
Kilimo katika Wilaya ya Mlimba.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 407,880.[1] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 292,536 tu, kutokana na uanzishwaji wa wilaya ya Ifakara Mjini, yalipokuwa makao makuu ya wilaya ya Kilombero [2].

Marejeo hariri

  1. Tanzania.go.tz/census. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-12-17. Iliwekwa mnamo 2003-12-17.
  2. https://www.nbs.go.tz

Viungo ya nje hariri

  Kata za Wilaya ya Mlimba - Mkoa wa Morogoro - Tanzania  

Ching'anda | Chisano | Chita | Idete | Igima | Kalengakelu | Kamwene | Masagati | Mbingu | Mchombe | Mlimba | Mngeta | Mofu | Namwawala | Uchindile | Utengule


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mlimba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa na viongozi wa sasa maana wanabadilika haraka mno.