Wolfeius

muingereza mtakatifu mroma mkatoliki

Wolfeius alikuwa mkaapweke katika wilaya ya Norfolk, Uingereza.

Anajulikana tu kutokana na maandishi ya William Worcester, anayemtaja kama mkaapweke wa kwanza wa Mt. Benet Hulme.[1]

Labda alifariki katika karne ya 11, tarehe 9 Desemba ambayo imekuwa sikukuu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. David Hugh Farmer, The Oxford Dictionary of Saints. Fifth edition (Oxford: Oxford University Press, 2004).
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.