Kuchakulo

(Elekezwa kutoka Xerus)
Kuchakulo
Kuchakulo miraba (Euxerus erythropus)
Kuchakulo miraba (Euxerus erythropus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Rodentia (Wagugunaji)
Nusuoda: Sciuromorpha (Wanyama kama kindi)
Familia: Sciuridae (Wanyama walio na mnasaba na kindi)
Muirhead, 1819
Nusufamilia: Xerinae (Wanyama wanaofanana na kindi)
Osborn, 1910
Kabila: Xerini
Ngazi za chini

Jenasi 5, spishi 6:

Kuchakulo ni wanyama wadogo kama kindi katika kabila Xerini la familia Sciuridae. Tofauti na kindi, ambao huishi mitini, kuchakulo huishi ardhini. Wanatokea maeneo makavu ya Afrika, isipokuwa kuchakulo makucha-marefu anayetokea Asia ya Kati. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, manyasi, machipukizi na wadudu. Huchimba vishimo ambamo walala na kukingwa dhidi ya joto na wanyama mbua. Hutafuta chakula wakati wa mchana.

Spishi za Afrika hariri

Spishi ya Asia hariri

Spishi ya kabla ya historia hariri

  • Xerus daamsi (Pliocene ya Kossom Bougoudi, Chadi)

Picha hariri